Ukweli Kuhusu Mbinguni

“Je, mbinguni ni mahali halisi?” Labda unaiangalia video hii, na pengine unafikiria, “Mimi siamini uwepo wa mbingu. Si lolote ni mashaka tu!” Niruhusu ni kueleze kwamba, “Ndiyo, mbinguni ni mahali halisi.” Je, nimelijuaje hilo? Vyema, si kwa sababu ya uzoefu binafsi. Sijawahi kufika huko. Imani ya mtu kuhusu uwepo wa mbingu inategemea kwanza kwenye uthibitisho wa uwepo wa Mungu, na pili kwenye kutokuwapo na makosa katika Biblia.

 


 

For more information, please contact your local Church of Christ:

Scroll to top
Where Do We Go When We Die?